SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI-Waziri Mkuu Majaliwa.
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea kushirikiana kikamilifu na Sekta Binafsi katika utoaji elimu ya ufundi na mafunzo ya ufundi stadi ili kuzalisha wataalamu wenye ujuzi wa kutosha unaohitajika katika sekta mbalimbali. Pia, Waziri Mkuu ametumia fursa hiyo kutoa wito kwa waajiri wote nchini waendelee kushirikiana na Serikali katika kuhakikisha malengo ya kukuza ujuzi na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed